Baada ya Diamond kutoa msaada wa Tsh Mil 20, Alikiba amekuja na Million 21 - Jumaa Lunduno

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Friday 12 August 2016

Baada ya Diamond kutoa msaada wa Tsh Mil 20, Alikiba amekuja na Million 21

Diamond na Ali Kiba
Baada ya Diamond Platnumz kutoa msaada wa Tsh million 20 katika taasisi ya GSM Foundation inayojihusisha na kusaidia watoto wanaosumbuliwa na magonjwa ya vichwa vikubwa na Mgongo wazi sasa ni zamu ya Alikiba.

Msanii huyo wa Bongo Fleva siku ya jana August 11 aliwasili katika ofisi za GSM Foundation na kuwakabidhi pesa taslim shilingi za kitanzania Million 21 (21,000,000) kama mchango wake wa kusaidia upasuaji kwa watoto wanaosumbuliwa na magonjwa ya vichwa vikubwa na mgongo wazi.
 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here