Baada ya mkasa uliompata mwana Dada Amber lulu ameketishwa na kipindi cha Dwikiend cha Clouds tv na kuyasema mambo ya moyoni yaliotokea wakati ya sekeseke hilo.
‘Socialite’ na ‘Video vixen’ wa video za ‘Inde’ na ‘Too much’, Amber Lulu amefunguka kuwa amegundua ‘masnitch’ wengi sana baada ya kukumbwa namkasa wakushikiliwa napolisi kuhusika nausafirishaji wamadawa yakulevya.
Diva huyo amesema kuwa hakuhusika nausafirishaji wamadawa yakulevya kama ilivovuma katika mitandao yakijamii bali nirafiki yake wakiume aliyekuwa akimsindikiza Airport akielekea Nairobi ndiye aliyekuwa na madawa nahivyo ndomaana ameachiwa huru.
Kwa kujiamini kabisa, Diva huyo aliwataja Giggy Money ambae alikuwa shoga yake sikuchache kabla ya mkasa na Young Dee aliyedaiwa kuwa mpenzi wake.
Giggy Money
Amber anasema kuwa, nimasnitch wakubwa kwake nawalifurahi yeye kukamatwa napolisi kitu ambacho kilimfanya Amber kumtolea uvivu Giggy Money na kumshambulia kwa matusi kupitia akaunti yake ya Instagram.
No comments:
Post a Comment