Takribani wiki mbili zilizopita kumekua na mfululizo wa matukio tofauti yaliyohusisha Waalimu na Wanafunzi wa shule Za sekondari.
Moja ya matukio hayo ni lile la Waalimu kuwarekodi Wanafunzi waliokamatwa wakinywa viroba
na kuvuta bangi kisha kuivujisha mtandaoni video hiyo.
Kwa mujibu wa post Kwenye page yake ya Instagram Rappa Nikki Wa Pili ameonesha kusikitishwa na Kitendo hicho.
No comments:
Post a Comment