Chindo Man awataja wana Hip Hop anaowakubali zaidi Tanzania,Nje ya nchi wajue hapa.. - Jumaa Lunduno

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Saturday 13 August 2016

Chindo Man awataja wana Hip Hop anaowakubali zaidi Tanzania,Nje ya nchi wajue hapa..


Msanii wa hip hop tokea Arusha Chindo amewataja wana hip hop anaowakubali zaidi Tanzania.

Akitambulisha video yake mpya ya Torati ya mtaa kwenye kipindi cha Friday night Live Chindo amemtaja Hashimu Dogo kama namba moja,Fid Q akifuatiwa na JCB kama wana hip hop anaowakubali kwa Tanzania na Afrika.

Kwa upande wa mbele Chindo amewataja Nas Escobar, Jay z, J Cole, Kendrick Lamar na Meek Mill kama wana hip hop anaowakubali zaidi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here