AY alikuwa mmoja wa wasanii wa Afrika waliotumbuiza kwenye uliopita kwenye tamasha la Mandela Day jijini Jozi, Afrika Kusini. Tazama documentary hii ya kuvutia kuhusu safari hiyo na hadi show yake. Kuna wimbo mpya alioutumbuiza na huenda ukawa moja ya nyimbo zake zijazo. Kwenye video hii utawaona zaidi pia Salama Jabir na Hermy B waliyeongozana naye.
WATCH VIDEO
No comments:
Post a Comment